See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Sasa Leo ndio atazimia Mtu..Wakubet mnajua nini cha kufanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo 😁😁😀😃😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Leo yanga atashinda hata vitatu tuwe waungwana wakuu
Wapigwaji mara nyingi aka cha wote 😂Mabingwa mara nyingi!!
Kwamba kina tabora na wahuni wenzake inawezekana sasa hivi wapo kwenye dozi ya AZUMA mkuu ?Hahahahhah. Huu sasa utani wa ngumi. Eti CHA WOTE.
Eti nini "Ruangwa msiposingiziwa mimba mnaachiwa UTI sugu" Hahahahah!!!
Nipo namungo ila huruma tu😄Kumbe na wewe umo!!
KUTESEKA KWA ZAMU
Tuweke helaLabda na NJAA
Vete No queremos que estés aquíMkuu upo 😁😁
Usimpangie mtu cha kuandika, jipangie mwenyewehiyo mada inahusiana nini na simba
Mwaka wa taabuMods huu uzi ubaki hapa hadi Yanga atapomaliza kufungwa na kurudi vichwa chini.
Wanayanga twendeni na nguvu moja maana leo ubaya ubwela gamondi wa Tabora
Poa tumpe DIVISHENI FOO ashike.Tuweke hela
Leo utopolo wanashinda kunamchezi wa namungo atasababisha penanati na refa wa leo ni mwanayanga lia lia leo kekele zao zinarudi
Uzi huu hapaWatu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.
Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.
Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.