Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Hizi labda yellow cardsWeka Rekodi hii
FT
Namungo 0-4 Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi labda yellow cardsWeka Rekodi hii
FT
Namungo 0-4 Yanga
hii hatariYanga tumefikia Ile hatua ambayo hatujui kama tunashinda ama la
Kwa Leo nusu wanaamini ushindi robo wanaamini draw na robo nyingine kufungwa
Hali sio kabisa
Baada ya hapo unachukua CAF CHAMPIONS LEAGUEAkija Tena anakandwa
Uzi ulikuwepo mbonaWatu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.
Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.
Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.
🤣🤣🤣Mimi nalaumu sana kwanini timu zimeanza kuwafunga yanga mapema hivi, ilitakiwa zianze kuwafunga baada ya dirisha dogo ili wasijue madhaifu yao wakija kushituka wamekosa ubingwa, hata hii mechi ya leo naombea washinde tu ili wajipe moyo ubora wao umerudi wasihangaike kusajili tena
Mods ni YangaLive ? mechi ndio inachezwa mda huu?
dah! mkuu mnatusema sana hivi mnatuonaje..?
Mwamuzi wa leo ni nani?Wachezaji na Marefa Walishapenyezewa Bahasha
View attachment 3165753
Mtaanza kulaumiana kwanini wamemwanzishaLeo mtajua haya mambo mawili
1. Khomeiny ni bonge la goalkeeper
2. Musonda ni bonge la striker!
Mpumulelo ameanzia benchi bana 🤣Sijui kuhusu matokeo ya mwisho ila naamini Mpumelelo anaendelea pale alipoishia
Mechi ya juzi Afisa Habari wenu aliwaambia mje mmevaa kamba kiunoni, msivyokuwa na adabu wengine mkaja na shanga.
Mechi imeisha watu wanakuja kufanya usafi kwa ajili ya mechi ya kesho wanakuta getini kumejaa makolokolo ya ajabu, mikamba mikamba, mishanga.
Sijajua na mechi ya leo kama kutakuwa na muendelezo wa kampeni "tutafungua vilivyofungwa"
Muendelee kulia pamoja 🤣🤣Sikuwa mfuatiliaji kabisa wa mechi za Yanga ila hapa karibuni wameanza kunivutia kuwafuatilia. Hebu kipute kianze tupate rubudani.