nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Ni aibu kwa Namungo kufungwa na wachawi...
Hakikisheni wamepita getini.
Hakikisheni wamepita getini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mchezaji yupi kapewa mechi?🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBC Premier League
⚽️ Namungo FC 🆚 Young Africans SC
📆 30.11.2024
🏟 Majaliwa Stadium, Ruangwa Lindi
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3165739
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA.
View attachment 3165883
Tukutane hapa kwa Updates...
Mzee mpili kaonekana hukoNi aibu kwa Namungo kufungwa na wachawi...
Hakikisheni wamepita getini.
Aziz AndamwileLeo mchezaji yupi kapewa mechi?
Utopolo mkafungue kesi kibendera aliingia uwanjani.
View: https://x.com/TrollFootball/status/1862556320261697998?t=YZzE5a-GF2qd6ggKg6e84A&s=19
Ameongeza takwimuAzizi asee bora mimi napiga shut safi
Yanga anafungwa leo muendelezo ni ule ule Yanga kufunga sifuri wanarukaruka tu uwanjani pumbavu ingekua Tabora sasa hivi Namungo kashafungwa 1mods wameunganisha uzi basi ni lugha gongana kwa kwenda mbele.
Bora aondoke tu hapo kipaji kinaweza kikafia hapo Yanga hamna kitu kabisa kufunga hawafungi hii gemu wanafungwa tenaPacome tu ndio ameonekana kuwa bora the rsst wanaruka ruka tu
Naye sijui kwakuwa tunasikia mkataba wake upo mwishoni.
Anajituma kuwa impress maboss na Club zingine ambazo zinaonesha nia ya kumtaka.
Labda Aziz AndambwileAzizi Ki sio wakumuweka Chama benchi
Azizi asee bora mimi napiga shut safi