FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Mimi nalaumu sana kwanini timu zimeanza kuwafunga yanga mapema hivi, ilitakiwa zianze kuwafunga baada ya dirisha dogo ili wasijue madhaifu yao wakija kushituka wamekosa ubingwa, hata hii mechi ya leo naombea washinde tu ili wajipe moyo ubora wao umerudi wasihangaike kusajili tena
 
Uzi ulikuwepo mbona
 
🤣🤣🤣
Umeshaona tunashinda sio
 
Leo mtajua haya mambo mawili
1. Khomeiny ni bonge la goalkeeper
2. Musonda ni bonge la striker!
 
Sikuwa mfuatiliaji kabisa wa mechi za Yanga ila hapa karibuni wameanza kunivutia kuwafuatilia. Hebu kipute kianze tupate rubudani.
 
Mpumulelo ameanzia benchi bana 🤣
 
Huyu kocha anapewa maelekezo. Licha ya malalamiko ya watu kwamba Aziz ki amechoka, bado kampanga na chama yuko nje.
 
Sikuwa mfuatiliaji kabisa wa mechi za Yanga ila hapa karibuni wameanza kunivutia kuwafuatilia. Hebu kipute kianze tupate rubudani.
Muendelee kulia pamoja 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…