Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo we unaona hii mech rahisi?Namungo wasije kufikiria kuwa baada ya hapa watapata mechi nyingine rahisi kuliko hii.
Ni vyema wakatumia nafasi vizuri
Mechi ikiisha wamefungwa mbona mechi itaondoka na kichwa cha mtuInabidi waifunge hii na leo muendelezo uwe vizuri wafukuze na huyu kocha
Hamna mechi hapaKwahiyo we unaona hii mech rahisi?
Hahaha kocha tumbo linaunguruma haamini anachokiona uwanjani Yanga kufunga zero hawafungi wamefungwa miguu, watu watalamba ndimu na leoMechi ikiisha wamefungwa mbona mechi itaondoka na kichwa cha mtu
Panya wengi hawachimbi shimo la muhogo au karanga?Forward za Yanga zimejaa kwenye box la Namungo lakini wameshindwa kufunga.
Kweli panya wengi hawachimbi shimo
Yaan hapo umesemaje yaan?Mzuzwa anakatwa na mgunda
Yanga kufunga zeroMtangazaji wao anatangaza huku anaumia sana
Nina maana yangu kutaja nyendo zake husuani zenye kuonesha flaws kwasababu huyu alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotajwa kama sababu ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya TaboraYao cross yake ya sita hii inapotea
Counter attack wapige zile za Tabora za kushtukiza?Mgunda atonywe kuhusu counter attack... !
Huko nyuma uto wabovu kwa counter attack!