Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Timu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
🟢🟡🟢🟡
#yangabingwa
#since1935
🟢🟡🟢🟡