Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Mpeni sheikh kwanza pesa yake ๐๐๐Leo Yanga anashinda mkuu๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpeni sheikh kwanza pesa yake ๐๐๐Leo Yanga anashinda mkuu๐๐๐
Niliutafuta baada ya kutouona ndiyo nikaja na uzi huu. Hizo dakika 3 labda ndiyo alikuwa anauandika kwa machungu na kigugumiziView attachment 3165595
Wameshapost kumbe,unazidiana na huu wako kwa dk 2 wao walianza
Tatizo kamdomoo ๐คซSijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
๐ก๐ข๐ก๐ข
hahaha unatia huruma sanaKila la kheri Yanga SC ๐ ๐ ๐ chama langu pendwa kutoka kusini mwa jangwa la Sahara
Naunga mkono hojaSijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
๐ก๐ข๐ก๐ข
Na kweli wao ndio huwa wana visebu sebu vya kuanzisha nyuzi za yanga.Timu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
๐ข๐ก๐ข๐ก
๐hahaha unatia huruma sana
Ni kwel nilikosea,huu uzi wa jamaa ndo umeanza,maana wa yanga nimeona umeandikwa dk 8 na huu dk 10Niliutafuta baada ya kutouona ndiyo nikaja na uzi huu. Hizo dakika 3 labda ndiyo alikuwa anauandika kwa machungu na kigugumizi
Ukiomba ban unapewa maana mods wanakuwa wanakidhi hitaji lako.Sijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.
#yangabingwa
#since1935
๐ก๐ข๐ก๐ข
Endeleaa kumjaza upepo hivyo hivyoNaunga mkono hoja
๐คฃ๐ ๐ ๐ kumbeTimu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka, mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
๐ข๐ก๐ข๐ก