FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Cross ndefu iliyokosa mmaliziaji

Maana yake katika matukio yote ya kipindi cha kwanza ya Namungo kwenye kushambulia. Tukio hili ndio limeonekana kuwa closely na attempt ya kufunga bao.
Ndio kungekua na mmaliziaji lingekua goli lile
 
 
Aisee,
Namungo wanakosa talent hapo mbele sijui wanaiogopa yanga pia namungo Wana butua butua Sanaa mipira..

All in all,
Yanga wanachapika Ila mpaka Sasa sikajua marengo ya kocha wa namungo...kwenye kikosi chake upande wa VIUNGO washambuliaji na straiker hawana yaan ukiwa na mtu Kama Messi, robinho, gaucho, RAPHINA sasaivi yanga wangekua wanasaga meno.

Natamani kuona yanga wakipoteza tenaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…