KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
dah!Second half
Kama wamewamudu basi wawadhibiti vyumbani wasichome masindano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah!Second half
Kama wamewamudu basi wawadhibiti vyumbani wasichome masindano
Half time. Matokeo 0-0dakika ya ngapi?
Ndio kungekua na mmaliziaji lingekua goli lileCross ndefu iliyokosa mmaliziaji
Maana yake katika matukio yote ya kipindi cha kwanza ya Namungo kwenye kushambulia. Tukio hili ndio limeonekana kuwa closely na attempt ya kufunga bao.
Hawa wa kuwaonea huruma gani wamekuwa wakituita sisi mwakarobo?Mimi huwa nawaombea heri Yanga kwenye michezo ya Kimataifa tu. Ila kwa huku ndani hapana. Mwendelee kufungwa na kutoa sare. ili Mnyama achukue ndoo mwaka huu.
Boda boda alipewa GamondiAtakodishiwa Bajaj sio bodaboda imuwahishe kwao
Kipindi cha pili watajirekebishaCross ndefu iliyokosa mmaliziaji
Maana yake katika matukio yote ya kipindi cha kwanza ya Namungo kwenye kushambulia. Tukio hili ndio limeonekana kuwa closely na attempt ya kufunga bao.
Utos are embarrassed to mention their team. Aren't youWe need goals.. who am I doesn't matter..
Yale yale ambayo tumekuwa tukiwaambia na nyie mkawa mnatubishiaHii timu Ina matatizo Gani?
Hahahahaha 😂
Aisee,🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBC Premier League
⚽️ Namungo FC 🆚 Young Africans SC
📆 30.11.2024
🏟 Majaliwa Stadium, Ruangwa Lindi
🕖 6:30PM(EAT)
View attachment 3165739
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA.
View attachment 3165883
Tukutane hapa kwa Updates...
Updates...
18:31 Mpira umeanza kwa kasi ya Wastani hapa .
Umiliki ni 50x50
Dakika 2'
Yanga wanapata kona, anaipiga Aziz K inaokolewa na mabeki wa Namungo FC
0-0
Dakika 5
Yanga wanapata free kick inapigwa haileti shida.
Dakika 10
Kibabage anashindwa kumwaga maji hapa.
Anaingia hadi 18 lakini pasi yake inakuwa Mkaa
Game on.
0-0
Dakika 12
Yanga wanapata kona inapigwa haraka haraka inaishia kwenye mikono ya kipa wa Namungo.
Game On
0-0
Dakika 15
Namungo wanatengeneza shambulizi moja zuri.
Inapigwa inatoka nje, inakuwa off target.
Mchezo unaendelea
0-0
Dakika 17
Yanga wanapata tena kona hapa.
Anaanza Aziz kona fupi, bado haizai matunda.
Ball On
0-0
Dakika 20.
Yanga wanapata kona inapigwa inaokolewa vizuri kabisa na Namungo
0-0
Dakika 22,
Yanga wanafanya shambulizi kali hapa.
Kakolanya anaitoa
0-0
Dakika 28
Yanga wanapata faulo nje kidogo ya 18.
Anaipiga Aziz
Inakuwa kona, imeanza haraka haraka.
Haijazaa matunda
Mpira unaendelea, Yanga wanafanya shambulizi hafifu, Anaokoa kipa wa Namungo
0-0
Dakika 30
Mligo wa Namungo anapata kadi ya Njano baada ya kimchezea rafu Yao Kwasi
0-0
Dakika 33
Namungo wanafanya shambulizi hatari kwenye lango la Yanga, halifanikiwi waapoteza mpira.
Ni nafasi ya wazi kabisa kwa Namungo.
0-0
Dakika 42
Aziziiiiiiii, inagonga mwamba hapa inatoka nje.
Aziz K anakosa nafasi ya wazi hapa.
0-0
Dakika 45.
Nyongeza ni 3.
Game On
0-0
Mkuu naona uchawi wangu unaonyesha mtashinda😊dah!
Na inanukiaNaona droo Leo pale.
Sawa 😃😃😃Yale yale ambayo tumekuwa tukiwaambia na nyie mkawa mnatubishia
Hahaha watamtembeza kwa miguu
😃😃😃😃😃🤣🤣🤣 wanaanza kuiogopa timu yao wenyewe!! Wazee wa 12AM Vincenzo Jr wamerudi nyuma