Stock imeisha bloo na saplaya kasema ghala la kuhifazia limeungua kwa hiyo kazi ipooUto hivi siku hizi madawa ya kuongeza nguvu hamtumii tena?
UsijalKwahiyo shida ya kukosa magoli bado ipo
Nami nina ubaya mkuuKolozidad mmefika wote tayari.
Bado Mtoto halali na hela
Kwani kushootia mbali wamekatazwa?Tatizo kubwa la Yanga ni kushuka kwa viwango vya unyumbulifu kufungua defense line ya timu pinzani kwa
Nzengeli
Pacome
Aziz Ki
Muda
Ni kama timu zimejua pattern zao na wakiziblock timu inabaki kumiliki mpira lakini magoli hakuna
Labda njaaMtashinda usijal bro π
Hizi ndo Fallacy sasa nnazosema..
Ambazo hazina mahala utathibitisha..
Yanga tunahitaji. GOALS....
Kmmaae
unawazimu we dada..??Na iwe hivyo
Utaona tu mkuuπLabda njaa
Au nasema uongo jamani.....JPM
alaaa!Mno mkuuπͺ nyuma mwiko
Katika vitu sikufurahishwa navyo ni pamoja na Gamond kuondoka. Hii habari ya Gamond imewafurahisha wana Simba wengi sana. Mpaka sasa mna nafasi kubwa kutufunga round ya pili kwa haya mawenge tunayopitia sasa hivi.
Dakika hiz mtapataalaaa!
Vipi tumefungwa Auπ€£π€£π€£π π π
Uyo mpaka aje arudi kiwango chake kaz sanNgono inakula magoti if you know wewe footballer try to control this damn
Aziz k mashuti yake ni kichekesho sasa hivi amuulize Ngasa