FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

FT: Namungo FC 0-2 Young African SC | NBC Premier League | Majaliwa Stadium | 30.11.2024

Aziz ki hastahili hata kukaa jukwaani, kiwango chake pale Yanga kimekwisha kabisa, anapaswa kufukuzwa haraka sana. Tabia ya kupenda malaya imeua kipaji chake.
Samata was very smart kutohanhaika na hawa mademu milupo ya kibongo.
Unakutana na Gudemu guana-harakati unaingia mkenge na nyota zako gwenyewe gunakupulizia na kukuchota nyota kudadeki. Gwenyewe pia guna tafuta ku-shine kwenye mambo yake kwanini gukuache?
Halafu gunakuweka kichwa mapajani. Gunakorogelezea ugupende gwenyewe kuliko chochote, kuliko hata kazi yako
 
Kwa hizi sub za Yanga za kumtoa Max, kumuingiza Dubr, unaona kabisa huyu kocha ni kiazi kabisa. Hajui chochote. Labda ashinde hii game, Yanga ikitoka sare au kufungwa, atakiona cha mtema kuni.
 
Back
Top Bottom