Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaonekana anapenda sana kushambulia.Mkude ni kama hatumiki
Hujui kitu shut upHuyu kocha wetu hamna kitu. Ona hii sub ya hovyo kabisaa anafanya
2 kawaida sana kwa 🦁Soma Ubao
Samata was very smart kutohanhaika na hawa mademu milupo ya kibongo.Aziz ki hastahili hata kukaa jukwaani, kiwango chake pale Yanga kimekwisha kabisa, anapaswa kufukuzwa haraka sana. Tabia ya kupenda malaya imeua kipaji chake.
Chukua filimbi basiHilo goli la Musonda lina viashiria lilikuwa offside
Umejibu nilichokiuliza kwa sisi tusiojua mpira tunashindwa kutofautisha Sureboy/mkude mkitueleza kama hivi inakua afadhaliAnaonekana anapenda sana kushambulia.
Na dube alikua amenuna nje naona kamfokea kochaKwa hizi sub za Yanga za kumtoa Max, kumuingiza Dubr, unaona kabisa huyu kocha ni kiazi kabisa. Hajui chochote. Labda ashinde hii game, Yanga ikitoka sare au kufungwa, atakiona cha mtema kuni.
Ali Kamwe na Hersi Washika Vibendera Haji's Manara Refarii wa KatiMwamuzi wa leo ni nani?
Labda anaona Max hafit kwenye mfumo wake kama musonda/beleke na GamondKwa hizi sub za Yanga za kumtoa Max, kumuingiza Dubr, unaona kabisa huyu kocha ni kiazi kabisa. Hajui chochote. Labda ashinde hii game, Yanga ikitoka sare au kufungwa, atakiona cha mtema kuni.
Ana malengo yake ndio maana anaitwa kocha. Ubao ni goli mbili kwa Yangaaliye shauri atoke max ana agenda ya kutunyima furaha
Najua mnajua ni offside ile ndo maana mnaongelea mambo ya filimbiChukua filimbi basi