Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Ngoja aje kibaka mmoja atoe ahadi zake za kijinga.Watu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.
Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.
Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.
Bado wanatafakari uchungu...Wamesahau kwamba wanacheza leo hahaha
ni fedhea
Toka lini madameTimu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka,mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
π’π‘π’π‘
Kama unabeti nakushauri mpe Namungo utakuja nishukuru baadaeSimba kufungwa mara nne mfululizo hujapenda?
Umeandika kwa uchungu sana.Mola awarehemu vyura wote.Aimeeen πTimu tunayo na tunatamba nayo. Huwa wanakimbilia kuanzisha madomokaya nyinyi wenyewe. Bora mmeichoka,mmetuachia timu yetu. Tutaanzisha lisaa limoja, kabla ya mechi kuanza au dakika chache kuanza. Huu ndiyo utaratibu.
#yangabingwa
#since1935
π’π‘π’π‘
jamaa kavunga utafikiri hakuna kinachoendeleaπ
Namsaidia best yangu Labani og leo Yanga ikifungwa nitandikwe Ban. Ole wake mtu anipe Ban ataniambia, katoa kutoka kifungu gani hapa JF π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ngoja aje kibaka mmoja atoe ahadi zake za kijinga.
ππππππππππππDah
Unaona wivu Namungo akifungwa na YangaKama unabeti nakushauri mpe Namungo utakuja nishukuru baadae
ππNamsaidia best yangu Labani og leo Yanga ikifungwa nitandikwe Ban. Ole wake mtu anipe Ban ataniambia katoa, kutoka kifungu gani hapa JF π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Huyo active ni shabiki wa Simba huyo miyeyusho sana huyo masta πActive mark huu Uzi baadaye utoe adhabu
Akipewa tutamkatia rufaaMods wekeni hii katika rekodi zenu tutarudi mida ya saa 3 kumuweka lockup