Watu huwa wanaanzisha uzi wa mechi siku moja kabla ila toka YAS (Yanga Atafungwa Saaaana) ianze rasmi kwa vipigo vitatu mfululizo, leo kumekuwa na kigugumizi katika kuanzisha uzi wakati yamebaki masaa machache mechi ianze.
Vyura mmesusia timu yenu? Tunaomba msijidhuru tu maana vipigo vinaendelea kama kawaida.
Binafsi nadhani mnaenda kufungwa mechi 6 mfululizo ndiyo kuna katimu mtakaotea baada ya hapo.
Wee mwite tu. Ataniambia na kifungu alichotumia. Awe na Mwanasheria tu, ukiwemo wewe.Active mark hii comment baadaye utoe adhabu
mwanangu sana huyo hana bayaHuyo active ni shabiki wa Simba huyo miyeyusho sana huyo masta π
Nipo safarini kwenye Costa naelekea lindi jana nilipata usingizi mzito sanajamaa kavunga utafikiri hakuna kinachoendeleaπ
kwani saa 3 ni mbali stay tuneWee mwite tu. Ataniambia na kifungu alichotumia. Awe na Mwanasheria tu, ukiwemo wewe.
πππππππKesho mnafungwamwanangu sana huyo hana baya
ubaya ubwela π¦
sio kwamba umekwepa fedhea πNipo safarini kwenye Costa naelekea lindi jana nilipata usingizi mzito sana
Nakuuliza una Mwanasheria? Shauri yako.kwani saa 3 ni mbali stay tune
Sahau,πππππππKesho mnafungwa
Ninapitia kipindi kigumu mno hadi jana usiku nilikuwa nalia kwenye garisio kwamba umekwepa fedhea π
hahaha ban inakuhusu madameNakuuliza una Mwanasheria? Shauri yako.
Leo Yanga anashinda mkuuπππ
ungesikiliza ile ngoma ya konde boyNinapitia kipindi kigumu mno hadi jana usiku nilikuwa nalia kwenye gari
πππππππππππafadhali umeokoa jahazi
fedhea inawahusu.
Ina alcohol ngapi?Game ya Leo Kali
Moja bila mtu analizwaGame ya Leo Kali
Ina alcohol ngapi?
Sijawahi pewa Ban, haitatokea nafata sheria zote za JF. Hii atakayenipa aandae na Mwanasheria wee waponze mods tu. Wapi JF imeandikwa, ukisema upewe Ban mods wakupe? Zaidi tunashinda, byebye watoto wa paka. Acha nikaianze weekend.hahaha ban inakuhusu madame