princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hivi mzize nae injury
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi. Nguvu za miguu zimemuisha kabisa. Ameshaingia kwenye mfumo, kuja kuchomoka si kazi rahisiNimeshangaa kuona hana hata uwezo wa kupiga mashuti Kama zamani.
Nimixx by ass kwanza 😹Pokea simu haraka
Pisi ipi hiyo bro?kuna pisi kali moja, tokea haya mambo yakufungwa fungwa Uto yaanze amekimbia kabisa jukwaa 😂😂😂
Evelyn Salt
Ass ni kitu gan bro 😅😅😅Nimixx by ass kwanza 😹
Si wampe nafasi hata beleke au wanarogwa mpaka makochaMpumelelo alivyoingia ni kama kaja ku seal fursa zote za magoli
ulikuwepo mama...🤣Kwani nliondoka 😹
Ndio tumetoka tigo tumehamia ass bro.... Ni huzuni 😹Ass ni kitu gan bro 😅😅😅
RELOADED brother...Full loaded au sio😂
Yanga hiii unaifungajeeee 😂😂😂😂ulikuwepo mama...🤣
Tigo kitaalamu sana si ndio asss bro🤔🤔🤔Ndio tumetoka tigo tumehamia ass bro.... Ni huzuni 😹
Baleke sijui kwanini hapewi nafasiSi wampe nafasi hata beleke au wanarogwa mpaka makocha
Hongera sana ndugu FALLACIES.....Hizi ndo FALLACIES.....
nimezisema hapo juu...
Wewe usiyeendekeza ngono unacheza timu gani hapo Ligi Kuu?Ngono na mpira haviendi pamoja maana ngono inakula magoti
Azizi K anaenda kuwa Kama ngasa
Kukosa exposure ni kitu kibaya Sana
Ipi sasaTimu kubwa
Soma ubaoIpi sasa