Huyo dogo anamchukia baba yake we utamuweza,hashauriki wala haambiliki.Usiku wa kuamkia jana ulileta uzi kama huu kua mechi ni jana nikakukosoa ukajibu ovyo, sometimes ujuaji hua ni kuwapa watu faida ya kujua aina na kiwangocha vitu ulivyohifadhi kichwani mwako; tukubali kurekebishwa!
Hehehehehehehehehehe!!!!!!!!!!!!!!Usiku wa kuamkia jana ulileta uzi kama huu kua mechi ni jana nikakukosoa ukajibu ovyo, sometimes ujuaji hua ni kuwapa watu faida ya kujua aina na kiwangocha vitu ulivyohifadhi kichwani mwako; tukubali kurekebishwa!
Tumebishana sana jana baadae ikabidi nikae tu kimya maana kila mtu akawa ananishambulia Mimi nikajiuliza tu swali mbona ni rahisi tu kujua ratiba kupitia Instagram pages za Azam Tv, timu husika na hata bodi ya ligi, kwanini mtu anakua na haraka ya kuja kupost bila kujirudhisha kwanza?!, Hilo nalo hadi tusubiri wachambuzi kweli?!...end of the day uzi wa hiyo mechi ukafutwa nadhani walijua kuna kitu hakipo sawaHehehehehehehehehehe!!!!!!!!!!!!!!
Akanipotosha hadi na mimi
Mi nilijua wewe hujui kwamba siku inabadilika saa sita nikakuona mjinga sana na Fala asiye na elimuTumebishana sana jana baadae ikabidi nikae tu kimya maana kila mtu akawa ananishambulia Mimi nikajiuliza tu swali mbona ni rahisi tu kujua ratiba kupitia Instagram pages za Azam Tv, timu husika na hata bodi ya ligi, kwanini mtu anakua na haraka ya kuja kupost bila kujirudhisha kwanza?!, Hilo nalo hadi tusubiri wachambuzi kweli?!...end of the day uzi wa hiyo mechi ukafutwa nadhani walijua kuna kitu hakipo sawa
Hehehehehehehehehehehehehehe!!!!!!!!!!!!!!sikufuatilia ratiba rasmi ya bodi ya ligi,niliandika kimazoea. Samahani,turudi kwenye uzi wetu.
Ulikosea sana Mkuu kwasababu hivi vitu viko wazi kabsa na jamaa aliandika tarehe ya mechi kua ni 18.02.2024 kitu ambacho hakikua sahihi kabsa. Lakini amekiri mwenyewe kua alipitiwa, tusameheane na tuendelee na mengineMi nilijua wewe hujui kwamba siku inabadilika saa sita nikakuona mjinga sana na Fala asiye na elimu
Sasa si tulishamaliza kila kitu jana ausikufuatilia ratiba rasmi ya bodi ya ligi,niliandika kimazoea. Samahani,turudi kwenye uzi wetu.
Nikikumbuka jinsi akivyoulizia hoja zako za kupinga kuwa mechi sio jana nacheka tu!!!!!!Ulikosea sana Mkuu kwasababu hivi vitu viko wazi kabsa na jamaa aliandika tarehe ya mechi kua ni 18.02.2024 kitu ambacho hakikua sahihi kabsa. Lakini amekiri mwenyewe kua alipitiwa, tusameheane na tuendelee na mengine
Umebet auNamungo FC, please do not let me down!
Sare itakuwa poa. Ila ushindi kwa timu ya nyumbani utapendeza zaidi.
Sawa nimekuelewa kiongozikiongozi sio malaika mkuu.
alafu nimegundua mnanishambulia sana wakuu! Sijui shida nini,au kuwa mnazi wa Young Africans ?Sawa nimekuelewa kiongozi
Hapana kiongazi mbona jana nilikuwa upande wako 🤣🤣🤣alafu nimegundua mnanishambulia sana wakuu! Sijui shida nini,au kuwa mnazi wa Young Africans ?