FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

VAR iwe introduced ASAP, hii league itaharibika kwa mambo ya ajab
 
Refa ameonyesha mapenzi ya waziwazi kwa simba
 
Refa ndio kazi yake lazima washindeeeeee

Pata Pata Pata Utajiri

Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂

Watoto wa kishua naomba kazi ya "Uhouse BOY"
 
Wakulaumiwa ni Mwigulu Nchemba na Karia kwa huu upumbavu unao endelea.
 
Yaani refa anapambana mpaka tone lake la mwisho😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…