Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Anazingua uyu boyaAcha kiherehere na umaarufu hauji kwa kuvamia nyuzi za watu.
Ipi?Mechi ngumu
Nadhani mchezaji aliongea shit.penati ni halali ila kadi nyekundu sijaielewa!
Haijalishi kikubwa #UbayaUbwela ipo hewani.Uyu refa ndo alimaliza mechi simba wakati inashambuliwa mechi ya Cost
Ni refa mkuu sio kochaHata kama huyu kocha kahongwa, this is too much 🚮🚮🚮
Hii.Ipi?
Wote n mashabiki wa SimbaHuyu na yule wa kushika kadi mikono miwili hawaombani chumvi. 😂😂😂
Mkuu Ngoja niwaite hawa marafiki zangu wachambuzi.Kadi nyekundu aliyeona tatizo nini aniambie
Aisee hata mie naona.Ndiyo maana ya #UbayaUbwela.
This is too much! Stop it please! 😡Kama utani wa Jadi ni mzuri ngoja nikutanie "wewe ni mvamizi wa viwanja"😂😂😂
Sawa kabisa na TAKUKURU na Tume ya Ushindani zitimize majukumu yao, haiwezekani mtu mmoja kumiliki timu saba zinazoshiriki ligi moja.VAR iwe introduced ASAP, hii league itaharibika kwa mambo ya ajab