princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
unaona wivu....njoo ututunuku hiyo tunu na weweMNatunukiwa tuπ π π
Mbumbumbu utaelewa nini wewe wakati tiyali ulishalaaniwa na RageUwezo wa kuelewa unatokea Wapi?
Wakati kule Manara alishasema wenye akili ni wawili tu.
ππ€£πTusi umelisikia mwenyewe au sioo.
π€£π€£π€£Leo nacheka sana πππ
Dah kweli hayo ni mahaba vip na ile red card Azam wamerudia zaidi ya mara tatu,kweli mtu chake.
Na wewe tutunuku. Kwahiyo wafanye makosa refa apete tu kwavile Namungo na Mashabiki wao ni kamdomo?MNatunukiwa tuπ π π
Ile red card kosa gani au ndio mahaba?Na wewe tutunuku. Kwahiyo wafanye makosa refa apete tu kwavile Namungo na Mashabiki wao ni kamdomo?
Nasikia 'tiyali' ni lugha ya manyani wa Luc EmayelMbumbumbu utaelewa nini wewe wakati tiyali ulishalaaniwa na Rage