Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Tunataka na wewe ututunuku naniliu. 😂🤣Refaaa weka penati ya 4😆😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka na wewe ututunuku naniliu. 😂🤣Refaaa weka penati ya 4😆😆
Hili limekuliza saaaaa, hili limekuliza sanaaa.Mpo vizuri mishort on target ya kumwaga,michance mliyo create ya kumwaga,mipenati msiseme,huyu mwamba anaweza piga hatrick ya penati akaweka historia kwenye ligi yetu na kuondoka na mpira.
Nyie hambebwi.
Kama nilivyocheka jana aisee
Nishirikishe basi. 😂Kama nilivyocheka jana aisee
Nafurahi mwanangu nipo na wanao sura wameinamisha chini sasa sijui wanaona aibu.Hili limekuliza saaaaa, hili limekuliza sanaaa.
Siyo kadi halali. Na uzuri siyo iliyosababisha magoli yaliyofungwa. Chuma 2-0, na bado kuna jingine.Ile red card kosa gani au ndio mahaba?
Utetezi utakua mkubwa sana😆😆😆Wachambuzi wanaandaa mafile ya utetezi kama kesi ya mauaji🤣🤣🤣
wapumbavu hao, ingekuwa yanga kedho wangeongea balaaaWachambuzi wanaandaa mafile ya utetezi kama kesi ya mauaji🤣🤣🤣
Ladha tutakula ugaliMpira hauna ladha kwa penati za hovyo hovyo.
Kabisa na yaona mengi washindwe wao,japo ukiondoa penati sijaona wakipata short on target ngoja tuendelee kuangalia mpira.Siyo kadi halali. Na uzuri siyo iliyosababisha magoli yaliyofungwa. Chuma 2-0, na bado kuna jingine.
Haya hayakuhusuYaani sisi bila penalti hatutoboi. 🤣🤣