FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

FT: Namungo FC 0-3 Simba SC | NBC PL | 19.02.2025

Huyo jamaa anaondoshaje mpira hapo ilitakiwa amuachie Ateba afunge.
 
Wakina Tatu malogo wamefanya yao Leo pale lindi,,mtu mzima anasubilia refa atoe penalty 3 ili aokolewe na timu ikiwa pungufu kwa zaidi ya dk 50?
IMG_5349.jpeg
 
Wakina Tatu malogo wamefanya yao Leo pale lindi,,mtu mzima anasubilia refa atoe penalty 3 ili aokolewe na timu ikiwa pungufu kwa zaidi ya dk 50?
Hiyo ni #UbayaUbwela inasepa na kijiji. Tofauti na utopolo wanaomiliki branch saba kwenye ligi moja.
 
Hii ligi imeharibika, GSM must go.
Iwekwe sheria ya kutokuwa mdhamini Zaidi ya club moja.
 
Hiyo ni #UbayaUbwela inasepa na kijiji. Tofauti na utopolo wanaomiliki branch saba kwenye ligi moja.
Au sio lakini angalizo tunatoa kwamba kelele atutaki tutakapoongeza gia,,hii mechi ya Leo imemaliza Kila kitu kwaiyo tusije kuona mbumbumbu yeyote ananyanyua bakuri lake kulalamika,,
 
Back
Top Bottom