Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goal ni goalHakuna goal la ufundi hapo
Wakina Tatu malogo wamefanya yao Leo pale lindi,,mtu mzima anasubilia refa atoe penalty 3 ili aokolewe na timu ikiwa pungufu kwa zaidi ya dk 50?
Pele alisema mpira ni magoli, naye ni mfalme wa soka.Mpira hauna ladha kwa penati za hovyo hovyo.
pongezi kwa refaClean sheet nyingine kwa Spider man🔥🔥🔥
Hiyo ni #UbayaUbwela inasepa na kijiji. Tofauti na utopolo wanaomiliki branch saba kwenye ligi moja.Wakina Tatu malogo wamefanya yao Leo pale lindi,,mtu mzima anasubilia refa atoe penalty 3 ili aokolewe na timu ikiwa pungufu kwa zaidi ya dk 50?
kabisa mkuu sema ulisahau sema atapata penatiHahaa nilisema Simba anashinda
3-0/3-1
Crying room ipo kwa wachambuzi wenu na nyie wenyewe sio yanga,,Kila timu ishinde mechi zake alafu tukutane mwisho wa msimu,,hii ya Leo imemaliza kelele zote sasa tunaingia kazini rasmi mtalia vilio vya kwikwi!
Ndivyo walivyokubaliana na Simba wacheze rafu ili kadi nyekundu itolewe. Wamekutana Mwana na MwanakomboRefa anamejitahidi sana. Namungo utafikiri wanacheza kick boxing.. walitakiwa wawe wamebaki 7 uwanjani.
Au sio lakini angalizo tunatoa kwamba kelele atutaki tutakapoongeza gia,,hii mechi ya Leo imemaliza Kila kitu kwaiyo tusije kuona mbumbumbu yeyote ananyanyua bakuri lake kulalamika,,Hiyo ni #UbayaUbwela inasepa na kijiji. Tofauti na utopolo wanaomiliki branch saba kwenye ligi moja.
Chomoa kama inauma.Urefa umeanza lini?Goli la Mukwala ni offside
06:59pmFT SIMBA 3-0/3-1
Kwani kukosoa kawaida huwezi mkuu? Jaribuni basi kujiheshimuChomoa kama inauma.Urefa umeanza lini?