Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you cannot stand the heat get out of the kitchen. Unaleta kiherehere utajibiwa.Kwani kukosoa kawaida huwezi mkuu? Jaribuni basi kujiheshimu
Niliwekaa zotee mbili mkuu angalia attachment na mda wa msgkabisa mkuu sema ulisahau sema atapata penati
Kila mtu ashinde mechi zake.Au sio lakini angalizo tunatoa kwamba kelele atutaki tutakapoongeza gia,,hii mechi ya Leo imemaliza Kila kitu kwaiyo tusije kuona mbumbumbu yeyote ananyanyua bakuri lake kulalamika,,
Na wewe ni mchambuzi pia, ingia kazini.mambo ya aibu sana, wachambuzi kazi kwenu
Hapana maana mpira uliguswa na beki wa Namungo kabla ya kufika kwa MukwalaGoli la Mukwala ni offside
Hawashenzi una helà mkuu unapiga cheers mda huuu kabla ya mechi washashindakabisa mkuu sema ulisahau sema atapata penati
Vyura utawaweza?Halafu mnasema Coastal ni tawi la Simba. Hamjui hata mshike lipi.
Unamfundisha ya nini huyo mvimba macho?Ajifunze kwanza sheria 17 za mpira kabla ya kuropoka.Hapana maana mpira uliguswa na beki wa Namungo kabla ya kufika kwa Mukwara
Sawa mwanetuIle yenu minne
Kama nilivyocheka jana ais
Attempts zingepatikana vipi endapo rafu za wachezaji wa Namungo zilikuwa nje nje! Adabu yao ni penalti tu waache kuumiza wachezaji maana kama walitumwa vile.Kama si PENALT ina maana hakuna attempt ya maana toka kwa AYEBA, MPANZU, CHASAMBI....
Kuna timu ilichukua miaka mi4, au unajisahaulisha.Ndio ukose miaka 3 kombe
acha shobo basiIf you cannot stand the heat get out of the kitchen. Unaleta kiherehere utajibiwa
Wewe tulia kwanzaKuna timu ilichukua miaka mi4, au unajisahaulisha.
Shobo ipi unawashwa?acha shobo basi
Acha shoboShobo ipi unawashwa?