Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tulia kwanzaView attachment 3242102
hoiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. nimechoka sana.
Punguza kujielezea kama kipa wako asiye na clean sheet mechi iliyopita🤣Crying room ipo kwa wachambuzi wenu na nyie wenyewe sio yanga,,Kila timu ishinde mechi zake alafu tukutane mwisho wa msimu,,hii ya Leo imemaliza kelele zote sasa tunaingia kazini rasmi mtalia vilio vya kwikwi!
Vyovyote ushindi na point 3 tunasonga mbele hadi trehe 8 mnakula tena 3Hakuna goal la ufundi hapo
Kumbe Kuna ubingwa wa clean sheet? Uwendawazimu nao ni mzigo! Clean sheet inaondoa class ya kipa? Mbona mangungu anafuga sana mbumbute?Punguza kujielezea kama kipa wako asiye na clean sheet mechi iliyopita🤣
Jifunze kwanza sheria za mpira ndo ukosoe, laa sivyo kila siku utaishia kuwaambia watu wajiheshimu maana wataruka sana na wewe.Kwani kukosoa kawaida huwezi mkuu? Jaribuni basi kujiheshimu
Mjiandae kutoka hapo juuAsante sana refa kutubeba
Kumbe Kuna ubingwa wa clean sheet? Uwendawazimu nao ni mzigo! Clean sheet inaondoa class ya kipa? Mbona mangungu anafuga sana mbumbute?
🐸Sawa mwanetu
Najua huwezi kuzungumzia uwezo wa simbaMbeleko fc
Najua huwezi kuzungumzia uwezo wa simba
Bongo hamna wachambuzi wa mpira. Wanaojifanya wachambuzi wa mpira ni washabiki oya oya wa mpiraUtetezi utakua mkubwa sana[emoji38][emoji38][emoji38]
Huu ni mwaka wa 4 sasa ."JII ESII EMUU ANAHARIBU LIGI"
Bila madhambi hakuna kadiBila kadi hakuna ushindi
Sio wa 3 mwanetu 😀Huu ni mwaka wa 4 sasa .