mna mioyo migumu nyie watu!! Muulize Tshabalala Azizi Ki ni nani?Nimejiuliza sana leo, Aziz Ki alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, askari polisi walikuwa wanachukua mpira kilaiini, Simba tulieni, dawa yao inachemka hao, mechi ya Simba vs yanga ni ushirikina tu, we timu imfunge Simba halafu icheze mpira mbovu na polisi? Umeona wapi, kesho ndio mtamuona Dejan na Okwa balaa lao
Muulize Tshabalala aliona nini.Wazee wa kambaki ha haha haa. Yani Aziza ni mdomo tuu na meno unaona.
Hehehe mmetoka kwa Mayele mmeamia hapo? [emoji1][emoji1]Mchezaji mdomo haufumbi kila wakati nzi wanamdandia.
Nyie ndo sio washirikina au sio? Ile fine ya CAF kule kusini mwa Afrika ilikuwa ya nini? [emoji1]Nimejiuliza sana leo, Aziz Ki alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, askari polisi walikuwa wanachukua mpira kilaiini, Simba tulieni, dawa yao inachemka hao...
Usiulize leo amefanya nini.Nimejiuliza sana leo, Aziz Ki alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, askari polisi walikuwa wanachukua mpira kilaiini, ...
Tshabalala akikusikia atasikitika sana.Nimejiuliza sana leo, Aziz Ki alikuwa anakimbia kimbia tu uwanjani, askari polisi walikuwa wanachukua mpira kilaiini, Simba tulieni, dawa yao inachemka hao, mechi ya Simba vs yanga ni ushirikina tu, we timu imfunge Simba halafu icheze mpira mbovu na polisi? Umeona wapi, kesho ndio mtamuona Dejan na Okwa balaa lao
Haha una roho ya pakaWazee wa kambaki ha haha haa. Yani Aziza ni mdomo tuu na meno unaona.
Mmehamia kwa Aziz Ki, sio Mayele tenaMchezaji mdomo haufumbi kila wakati nzi wanamdandia.
Hahaah kumbe ni hivyoo basi hatari sana mkuu kaa mbali na mimi.Haha una roho ya paka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi watajiona waooo ndo wababee eti wazee wa kambaki.. kambakiiii kambaki ya mafwi
aiseeAucho Ana kishundu🤣🤣🤣🤣
duuh watu noma sanaHii picha wakija wa kuzoom usiseme sijakwambia