Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Acha tuu tufurahi mkuu. Si unajua raha ya Simba ni kuwakera YangaYani unanipa raha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tuu tufurahi mkuu. Si unajua raha ya Simba ni kuwakera YangaYani unanipa raha...
Hii picha wakija wa kuzoom usiseme sijakwambiaAsante sana Yanga yangu, Point 3 MuhimuView attachment 2325518
Si vizuri kuandika hiviAucho Ana kishundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo mkuu.Chelu kama chelu mganga wa utopwix hahaha haujambo mkuu?
Nani kasemaa naniiiii?sisi wa sare sisi?...ila Tuombee mkuuNipo mkuu.
Yaani tufungwe mtusakame, tushinde mtusakame pia. Yaani kesho mkipata sare kesho mtajuta. Hata mkikimbia jf siku mkiingia mtakutana na madongo yenu yanawasubiri.
Sema nao sema nao.....wewe nakupa nafasi ya Afisa Habari na Uhamsishaji...Nipo mkuu.
Yaani tufungwe mtusakame, tushinde mtusakame pia. Yaani kesho mkipata sare kesho mtajuta. Hata mkikimbia jf siku mkiingia mtakutana na madongo yenu yanawasubiri.
Nmeshaona matokeaUmwingizwa Cha kike nawew umekubali, matokeo ni 1-1
Kuwaombea hapana...Nani kasemaa naniiiii?sisi wa sare sisi?...ila Tuombee mkuu
Vipi, tayari wameshakuita mbwa kama ulivyo ahidi, au bado!Kesho ndyo ligi inaanza rasmi hawa wa Leo walikuwa wanenguaji tu [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji881][emoji881][emoji881]
Hawa watu ni balaa...Sema nao sema nao.....wewe nakupa nafasi ya Afisa Habari na Uhamsishaji...
Refa leo aligeuka beki.Japo tumeshinda ila yule refa sio kabisa aisee.
Leo ilikua Polisi & refa Vs yanga.
Jamaa linapeta kichizi, goli la mayele kakataa, mayele kamtoka beki kaweka boli chini yani daah.
Sio huyo tu hata refa aliechezesha Singida big stars na prisons nae changamoto. Ukiachana na makosa ya kibinadamu kuna kaupendelea big stars wamekapata japo wameupiga mwingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi, tayari wameshakuita mbwa kama ulivyo ahidi, au bado!
Namaanisha utuombee tufeli si ndo unalotaka?Kuwaombea hapana...
Kitu pekee ninachoweza kufanya ni kusema 'mletee mzunguuu, mletee mzunguu'
Si mlikuwa mnamshabikia Mpole msimu uliopita. Kesho ndo mtajua Mpole siyo ndugu yenu.Namaanisha utuombee tufeli si ndo unalotaka?
Na kesho lazima awaoneshe ni kwa nini hawakumsajili yeye, na badala yake wakaenda kumsajili Mzungu.Si mlikuwa mnamshabikia Mpole msimu uliopita. Kesho ndo mtajua Mpole siyo ndugu yenu.
Nyie subirini tuu,ni kama kumsubiri masiha hamjui atakujaje kujajeSi mlikuwa mnamshabikia Mpole msimu uliopita. Kesho ndo mtajua Mpole siyo ndugu yenu.
Huyo hatafurukuta msimu huu ni wa motoNa kesho lazima awaoneshe ni kwa nini hawakumsajili yeye, na badala yake wakaenda kumsajili Mzungu.