Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi uko?Basi watajiona waooo ndo wababee eti wazee wa kambaki.. kambakiiii kambaki ya mafwi
Makosa ya marefa kimekuwa ni kilio cha muda mrefu sana na ningumu sana kupata utatuzi wake….Mkuu mahaba ya refa yalikuwa wazi mno sema vile kuwazuia yanga ni Kazi sana
Basi watajiona waooo ndo wababee eti wazee wa kambaki.. kambakiiii kambaki ya mafwi
Yanga kafungwa mkuuSasa nani kafungwa?
Maana mnanichanganya tu
Magoli ya Yanga zaidi ya 4 anayo refa, KayokoHaya magoli ni machache sana.
Yanga inahitaji magoli zaidi
zimepigwa pasi mpaka kocha wa makolo udenda ukamtoka akatamani awe msaidizi wa Prof Nabi.Hii Yanga Au Madrid Maana Sio Kwa Mipasi ile Mpaka Watu Wakasusa Kukaba Hahah
Matakeo ni ngapi ngapi?Yanga kafungwa mkuu
Mpumbavu yuleMagoli ya Yanga zaidi ya 4 anayo refa, Kayoko
Kama alivyo chapwa nyau ndio polisi kachapwa ivoMatakeo ni ngapi ngapi?
Ngapi?Kama alivyo chapwa nyau ndio polisi kachapwa ivo
Yanga kam kolo polisiMatokeo ngap mboni mnachat km au mpira umeisha?
Ngapi?Yanga kam kolo polisi
Wajamaa wana masihara sana wakati wengine tupo KolomijeMatokeo ngap mboni mnachat km au mpira umeisha?
Wanajifanya km hawaelewiWajamaa wana masihara sana wakati wengine tupo Kolomije