Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mmeanza kutoa vilio mapema sanaRefa Ana roho kama ya karia, yanga ikishinda roho inamuuma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeanza kutoa vilio mapema sanaRefa Ana roho kama ya karia, yanga ikishinda roho inamuuma sana
Hata mie nataman yanga afungwe nionje maumivu ya kufungwa yanakuwaje ila ndo haiwezekaniPolice 2 Yanga 1
Mkuu mahaba ya refa yalikuwa wazi mno sema vile kuwazuia yanga ni Kazi sanaMmeanza kutoa vilio mapema sana
Hii ndo yangaAu ana shinda njaa
Siku hizi wanajeshi wana vitambi mambo ya football watayawezs wawaachie raiaHizi timu za majeshi ziachane na kuchukua raia kuwa ktk timu zao.
Waibue vipaji huko vikosini na kupata wachezaji walifudhu mafunzo ya kijeshi.
Yanga imekuwa chanzo cha mapato kwa wengi sio nyau na wafuasi wake muda wowote anakutia hasaraAsanteni YangaView attachment 2325483