Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,061
Kulikoni kwani?Hizi timu za majeshi ziachane na kuchukua raia kuwa ktk timu zao.
Waibue vipaji huko vikosini na kupata wachezaji walifudhu mafunzo ya kijeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikoni kwani?Hizi timu za majeshi ziachane na kuchukua raia kuwa ktk timu zao.
Waibue vipaji huko vikosini na kupata wachezaji walifudhu mafunzo ya kijeshi.
2-1 kama alivyo pigwa nyauNgapi?
Hao polisi jamii TU hawana loloteTayari
Sisi ndo yanga
Yamekuwa haya tenaHao polisi jamii TU hawana lolote
Refa Ana roho kama ya karia, yanga ikishinda roho inamuuma sanaDah ila huyu refa duuuh!
Mwamnyeto ni beki mzuri sana tusianze kumzagama kwa makosa madogo tena ambayo hakudhamiria hebu nambie kosa lake leo liko wap?kuokoa na kumgonga mpinzani?
Bakari nondoMwamunyetooooo⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
Mwamnyeto akiwa maguire na inonga anakuwa nani?Mwamnyeto ni maguire mtanzania
Captain wa polisiKuna mtu kapigwa umeme
Matokeo ngapi ngapi uko?Captain wa polisi
VaraneMwamnyeto akiwa maguire na inonga anakuwa nani?
Hahahahaha polisi kafa kifo cha koloVarane
Kama alivyo kufa kolo wiki janaMatokeo ngapi ngapi uko?