FT: NBC Premier League Yanga 2- 1 Polisi Tanzania 16/08/2022

FT: NBC Premier League Yanga 2- 1 Polisi Tanzania 16/08/2022

Mhalifu yeyote hutiwa mbaroni na polisi, au nasema uongo jamani?

😂😂😂
 
Mamwela wakifanya masihala hii mechi inaisha kwa sare
 
Hizi timu za majeshi ziachane na kuchukua raia kuwa ktk timu zao.

Waibue vipaji huko vikosini na kupata wachezaji walifudhu mafunzo ya kijeshi.
 
Back
Top Bottom