Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Mayeleeeeeee⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleteee mdhunguuuMayele Hamna kitu
Mwamnyeto ni beki mzuri sana tusianze kumzagama kwa makosa madogo tena ambayo hakudhamiria hebu nambie kosa lake leo liko wap?kuokoa na kumgonga mpinzani?
[emoji23][emoji23][emoji23]bado wanagawana mgao wao wa jumamosiHakuna hata nyuzi moja ya bahasha mpaka muda huu ni maajabu kweli !!
Unaangalia mpira bado?Yanga kashakalia ukuni huko
Huyu benchi linamuita, hiyo namba atapewa Yanick Bangala.Dah Mwamnyeto keshachomesha tayali
Kosa gani kafanya hapo?
Sawa DogYanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale
[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleteee mdhunguuu
Mpira ni mbovu sana sababu ya uwanjaMpira wa yanga ni mtamu mno kiasi kwamba dk 45 zimepita kama dk 20 tu...
Tff ziongezeeni muda mechi za yanga angalau ziwe zinapigwa 120
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Utopolo ni kitimu cha mtu mmoja ... yule mtingisha matiti