Bwana Bure
Senior Member
- Aug 12, 2022
- 101
- 112
Ewaaaa hapo sawa..Mayele
Bakari nondo
Yaan 2_1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ewaaaa hapo sawa..Mayele
Bakari nondo
Yaan 2_1
Huyu ni Mbwa jike au dume?Anza kujiita mapema tu maana hii mechi yanga anashinda
Wes BrownMwamnyeto akiwa maguire na inonga anakuwa nani?
Polisi baada ya pasi kuzidi unga wakagoma kukaba wakawa wanarumbana.Refa kakataa goli halali la pili kwa Mayele na Mayele kajikosesha penati.Zimepigwa pasi 200 hivi polisi wakagoma kukaba
Polisi kapigwa 2-1Sasa nani kafungwa?
Maana mnanichanganya tu
Bingwa la nchi 2 Walinzi wa nchi 1Hamleti matokeo mmerogwa nini nashangaa mnachati tu kama mnatuficha utajiri kutoa tokeo..
Siyo bahasha za jiesiem?Nyie Yanga hamna kituu nawaambia ni ka upepo tuuu mngekua na kitu mngekionyesha toka half ya mwanzo timu mpk isubiri ikanywe energy drink mapumziko ndo irudi ifunge khaaaa?
Chelu kama chelu mganga wa utopwix hahaha haujambo mkuu?Siyo bahasha za jiesiem?
Umwingizwa Cha kike nawew umekubali, matokeo ni 1-1Ewaaaa hapo sawa..
Nyie makolo nani amewakataza kunywa "eneji"? Si boss wenu anamiliki kiwanda?Nyie Yanga hamna kituu nawaambia ni ka upepo tuuu mngekua na kitu mngekionyesha toka half ya mwanzo timu mpk isubiri ikanywe energy drink mapumziko ndo irudi ifunge khaaaa?
Yanga tushazoea kuonewa hasa ikifikia mayele anafungaMayele kafunga ila goli limekataliwa.
Mnapigwa kimoko cha dharau halafu mkija mnafunga viwili vya uchovuNyie makolo nani amewakataza kunywa "eneji"? Si boss wenu anamiliki kiwanda?
Nendeni mkanywe, ikibidi muogelee kabisa. Ila tukikutana Lupaso, mnachezea mshedede!
Jike maana kafuta post yake ya kututaka tumwite mbwaHuyu ni Mbwa jike au dume?
Yani unanipa raha...Basi watajiona waooo ndo wababee eti wazee wa kambaki.. kambakiiii kambaki ya mafwi
Aucho Ana kishundu🤣🤣🤣🤣Asante sana Yanga yangu, Point 3 MuhimuView attachment 2325518
Mchezo umemshinda maana alikuwa anaonekana kutamani yanga apoteze ama kutotoa maamuzi ya kufanya yanga aonekane anabebwaAisee yule Refa ni mpuuzi mnooo. Mwanzo kabisa wa ligi marefa wanaanza kupuyanga namna hii.. hovyo kabisaa