FT: NBCPL, Simba SC 5-0 Mtibwa Sugar | Uwanja wa Mkapa | 30/10/2022

Redi kadi zimeamua matokeo ya kipuuz,kariaaaa na tumbo lake kafurahi sana leo
 
Si
Si ndio anaongoza ama?
Hapana, kuna jamaa kama sikosei ni wa namungo alikuwa ana goli 5 wakati ye ana goli 3

Ni laurent Lusajo ana goli 5 kwa hiyo wako sawa na Moses Scars Phiri

Baada ya hapo anafuata Feisal akiwa na goli 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…