[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kufungwa wafungwe wakata miwa, kilio wanatoa wanafunzi wa Jangwani.Ona ww aibu unaekaa kwenye timu ya watu kujificha kujulikana kama ww ni utoo. [emoji3]
Uwiiiiiiii yaniii navyosikiloza mtangazaji wa Azam anavyoongea kwa mbwembwe mpk rahaaaaa yaniiii
Nashindwa jamani mimi dada yenuuu uwii.😀😀Kab
Kabisa mkuu
Msikie JK hapa akiwapashaAsubuhi walisema leo jumapili
Outing yetu itakuwa uwanja wa mkapa kuwapa ushindi wakata miwa
Ubingwa mara 28 (wa kihistoria kama mnavyouita) ila ndani ya hiyo mara 28, ukishindwa kuongeza idadi ya team za kushirikii michano ya CAF,ulishindwa hata kuingia makundi hapo mara mbili tu[emoji23].We una nini huko kimataifa?kuishia robo?we kwelo kolo,chukua kombe ujitape sio huu upuuzi
Wanawakilisha Afrika MasharikiKuna Simba Queens huko wanawakilisha nchi. Mechi saa 4 usiku huu
Usishangilie sana maana hii ni shangwe ya muda tu.
Walipo tupoooKuna Simba Queens huko wanawakilisha nchi. Mechi saa 4 usiku huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnooo uwiiiUbingwa mara 28 (wa kihistoria kama mnavyouita) ila ndani ya hiyo mara 28, ukishindwa kuongeza idadi ya team za kushirikii michano ya CAF,ulishindwa hata kuingia makundi hapo mara mbili tu[emoji23].
Ok basi sina kombe, lakini hata hizi juhudi za kuhakikisha tunaingiza team 4 kwenye mashindano ya CAF nazo ni kazi bure?
Acheni kuwa MABUMBUNDA[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app