Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Nenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikana
Hata mimi nimeshamsitukia huyo simba wa mchongo mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda huko unaboaa yani unaboaaa. Ww ni litopolo kindakondaki sema hutaki kujulikana
Na humu hum JF utalambwa red card ili uache upopomachama alimkanyaga faisal, inonga kwa sure boy, achana na wawa kwa nchimbi ambazo ni makusudi hata yellow haikutolewa
ila hii faulo ya bahati mbaya unakimbilia red upuuzi mtupu
Hakuna anayesema goli ni matokeo ya redMatopolo yanatafuta kupata pa kupumulia kwa penalty yao ya mchongo. Goli limefungwa b4 red card mnakingine?
Tafuta clip ya faulo aliyopewa njanoHujajibu swali
Nasikia Simba ilishamfunga Yanga pindi ikiwa pungufu. Hivyo usijali watafunga tuu si unatamani wafunge?Hakuna anayesema goli ni matokeo ya red
tunasema red haikuwa ya halali, tunasema pia red inaweza kuwa sababu ya mtibwa kutorudisha goli kwa maana wako pungufu
Umesahau na ya juzi ya john Bocco aliyomfanyia Amoah wa Azamchama alimkanyaga faisal, inonga kwa sure boy, achana na wawa kwa nchimbi ambazo ni makusudi hata yellow haikutolewa
ila hii faulo ya bahati mbaya unakimbilia red upuuzi mtupu
Anaboa sana aiseee ni mamlukiNamch
Namchukia uyu jamaa chaaa
[emoji881][emoji881][emoji123][emoji123][emoji123]Bwana ww ni Yangaaaa lialiaa hata bila kupepesa macho
Chuki mzigo wa mwiba ukiubeba utakuchoma.. [emoji881][emoji881][emoji881][emoji123][emoji123][emoji123]Namch
Namchukia uyu jamaa chaaa
Ni kweli sina,ndiyo maana nimesema ni Red card Kwa Sakho.......ila siyo kama akili yako ambayo hujui chochote kuhusu mpira ila umejaa mahaba tuUtakuwa huna akili
Amekuja kujaribu kuharibu jina la Simba kwa kujifanya ni muongea ukweli huku akiipondea dailyHata mimi nimeshamsitukia huyo simba wa mchongo mchongo
Hapana.. nimeangalia replay vizuri nimeona kweli Sakho alicheza mchezo usio wa kiungwanahakuna red pale mkuu, refa uwezo wake ni mdg na mechi imemshinda
Wampe tuu hata sasa hivi wacheze 11 kwa 11Ukweli Sakho alistahili red card.
mkuu timu yako haina uwezoNa humu hum JF utalambwa red card ili uache upopoma
haikuwa faulo nzuri maana imelenga kifundo cha mguu tena kacheza makusudiHapana.. nimeangalia replay vizuri nimeona kweli Sakho alicheza mchezo usio wa kiungwana
Ila kwa adhabu ya Red Card bado nashindwa kuamua