FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
10,644
Reaction score
32,375

Tarehe imewadia, Klabu za Yanga na Azam hapa nchini zinaenda kukiwasha Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, jiji lenye raha yake, waja leo waondoka leo.

Kikosi cha Yanga kina nyota tishio wapya kama Skudu, Konkon huku Azam ikiwa na nyota wapya machachali weka mbali na watoto Feisal, Bangala.

Ikumbukwe kwamba mara ya mwisho walipokutana kwenye kombe la FA, Yanga alipata ushindi.

Je, Azam wana lambalamba atalipiza kisasi au Yanga ataendeleza ubabe? Tutakuwa hapa kupeana taarifa.

Mchezo utaanza saa moja kamili jioni.

---

Kikosi cha Yanga kilichoanza leo:


Kikosi cha Azam kilichoanza leo


- Mpira umeanza

- Dk7 Skudu anaumia, nafasi yake imechukuliwa na Ngushi

- Dk 40 bado milango migumu wa timu zote

HT: 0 - 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…