FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Msisahau leo Sopu ana goli lake moja
Fei Toto goli moja
Dube goli moja
Radi haipigi mara mbili; ile bahati aliyokuwa nayo Sopu ya kumfunga Diarra imeshawekwa kibindoni. Fei Toto tayari ana laana atacheza akiwa na fundo moyoni la kula ugali kwa sukari, na hivyo kushindwa kupata matokeo yoyote. Dube bado sana mbele ya Yanga.
 
Vipi; Azam watasubir mashindano yote yaishe ndipo warudi Dar au wataondoka mara moja baada ya kupewa barua ya Thank You kutoka Yanga?
 
Kikosi cha Yanga
IMG_20230809_181340.jpg
 
Vipi; Azam watasubir mashindano yote yaishe ndipo warudi Dar au wataondoka mara moja baada ya kupewa barua ya Thank You kutoka Yanga?

Wakishapewa thank u lazma wabaki ili asubirie mechi ya mshindi wa tatu
 
Kikosi sina mashaka nacho leo ndio wataenda kutuonesha watatupa nini kwenye ligi
 
IMG_0114.jpg

Kwa kosi hili la Azam mhhh
HABIB HABIB THALATHA BIN THIFULI سمينينيطنيمننينين
Kibwana red Card
 
Ngao ya Jamii Simba Sports Club ndio tuna Pressure na Hili Kombe, Ndio litakalo amua Mustakabari wa Ligi Kuu, Imagine Robertinho Asichukue hii Ngao Ya Jamii na Hajamcheza Phiri au kamchezesha kwa Dakika Chache?

Patachimbika, Yanga Leo hii Mechi kwao Ni Nyepesi
 
Hapa kuna kitu sielewi, max,skudu na Farid wanacheza wapi? Au Kuna mmoja atacheza nyuma ya striker??? Aucho na mudathir peke yake naona midfield Itakua nyepesi
Kiungo cha mudathir na aucho kinakuwaga laini ngoja tuone leo. Max au farid mmoja anaweza kucheza namba 10
 
Muda wa lawama umekaribia

Ligi inakaribia kuanza, ni muda wa kuanza kuona miili halisi ya watu.

Kuna watu walishaanza na kunenepa kwasababu tu timu zao hazichezi.

Vita picha hapa unadaiwa kausha damu, home kodi ya mwenye nyumba, ukigeuka unakutana na vibomu vya manzi wako afu sasa kubwa kuliko Yanga inacheza na umeibetia

Vuta picha hizo stress za huyo mtu.
 
Back
Top Bottom