CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
AZAMU ATAFUNGWA TU.
YEYE NI KUTUUMIZA TU MASHABIKI WA SIMBA.
SH3NZI ZAKE....
YEYE NI KUTUUMIZA TU MASHABIKI WA SIMBA.
SH3NZI ZAKE....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kocha wa Azam mbona kama anataka kumrahisishia kazi uto, kikosi gani hiko ?
Yanga bana...Huyu kocha wa Azam mbona kama anataka kumrahisishia kazi uto, kikosi gani hiko ?
Huyu kocha wa Azam mbona kama anataka kumrahisishia kazi uto, kikosi gani hiko ?
Weka vikosi WeweView attachment 2712471
Tarehe imewadia, Klabu za Yanga na Azam hapa nchini zinaenda kukiwasha Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, jiji lenye raha yake, waja leo waondoka leo.
Kikosi cha Yanga kina nyota tishio wapya kama Skudu, Konkon huku Azam ikiwa na nyota wapya machachali weka mbali na watoto Feisal, Bangala.
Ikumbukwe kwamba mara ya mwisho walipokutana kwenye kombe la FA, Yanga alipata ushindi.
Je, Azam wana lambalamba atalipiza kisasi au Yanga ataendeleza ubabe? Tutakuwa hapa kupeana taarifa.
Mchezo utaanza saa moja kamili jioni.
View attachment 2712472
Back line yao umeiona ?Angempanga nani mkuu? Bangala bado hajapata Leseni na TFF wamesema
Mkuu usije kimbia uzi.Hii mechi matokeo n mawili tu
YANGA ASHINDE AU AZAM AFUNGWE
Weka akiba ya manenoHii mechi matokeo n mawili tu
YANGA ASHINDE AU AZAM AFUNGWE
Wewe huyo pacome ulimuonea wapiHuyu kocha wa yanga hajielewi pacome sio wa kukaa njee kwenye hii gemu
Huyu kocha wa yanga hajielewi pacome sio wa kukaa njee kwenye hii gemu
Kwakuwa Abdalah Kheri sebo yumo Yanga tayari keshashinda hii gameHuyu kocha wa Azam mbona kama anataka kumrahisishia kazi uto, kikosi gani hiko ?
Nionyeshe kikosi cha Azam mkuu.Back line yao umeiona ?
Hiyo backline imeni sikitisha sanaKwakuwa Abdalah Kheri sebo yumo Yanga tayari keshashinda hii game
Ametoa maoni tu mkuu.Weee tulia ungepeleke wewe maombi ya ukocha acha ujuaji
..Nionyeshe kikosi cha Azam mkuu.
Yanga nimeona.
Kimechangamka kidogo.
Kocha ameanza kwa ugumu kidogo.
Bado robo saa tuu.Hiyo backline imeni sikitisha sana
Kuna mvua ya magoli hapaHiyo backline imeni sikitisha sana