FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Ngao ya Jamii Simba Sports Club ndio tuna Pressure na Hili Kombe, Ndio litakalo amua Mustakabari wa Ligi Kuu, Imagine Robertinho Asichukue hii Ngao Ya Jamii na Hajamcheza Phiri au kamchezesha kwa Dakika Chache?

Patachimbika, Yanga Leo hii Mechi kwao Ni Nyepesi
Huu ni mwanzo wa msimu, hapa kila kitu ni Fresh, yaliyopita ni historia kama ambavyo Simba imeshawahi kuandika histori ya kuchukua makombe. Kwamba Yanga hawataki kuanza na kombe msimu huu? Si kweli.
 
Huu ni mwanzo wa msimu, hapa kila kitu ni Fresh, yaliyopita ni historia kama ambavyo Simba imeshawahi kuandika histori ya kuchukua makombe. Kwamba Yanga hawataki kuanza na kombe msimu huu? Si kweli.
Yanga asingetaka hili kombe asingeanzisha kikosi kigumu namna hii
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom