FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

nilicho ona so far, hapa hatuna kocha yanga, the poorest yanga in 2 years. huyu atuache tu.

hizi pasi fupi fupi since when 🚮🚮🚮
 
Hivi kwanini huwa mnajitia loki za kifikra?

Kama bibi'ako na mama'ko hawaelewi kuhusu soka usifikiri ndiyo mama na bibi za wenzako wapo kama wako.
We nawe kwa spana tu haujambo yaan mtu akitokeza mbele yako unamshishia spana, habari za mahabusu lakini
 
Yanga imebadilika sana kwa kweli.
Huko CAF kwa mchezo huu, wataishia mwanzoni mwanzoni tu
 
Back
Top Bottom