Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo huyu kocha anataka kunipa wasiwasi maana sijaona sababu ya msingi ya kuingia ngushi bora hata mzizeSa huyu ngushi alikua wa Nini?
Hio mechi ni ya CAF ?Yanga imebadilika sana kwa kweli.
Huko CAF kwa mchezo huu, wataishia mwanzoni mwanzoni tu
True TrueSioni wa kumzuia Mnyama
Kila nikijatibu kusoma sielewi umeandika Nini, najaribu kusoma sielewi unamaanisha Nini. Elimu, Elimu, Elimuso far nilicho ona. hapa hatuna kocha yanga, the poorest yanga in 2 years. huyu atuache tu.
hizi pasi fupi fupi since when 🚮🚮🚮
Kumbuka wewe ni Yanga [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani wachezaji si ndio hawa hawa??
Injury 🩸Katuni Skudu bado haijaingia
Yanga inacheza vizuri mpaka sasa, pale mbele tunakosa mshambuliaji wa mwisho.so far nilicho ona. hapa hatuna kocha yanga, the poorest yanga in 2 years. huyu atuache tu.
hizi pasi fupi fupi since when [emoji706][emoji706][emoji706]
Sidhani kama atamaliza mwezi😊😊😊nakubaliana nawe. Farid Musa and Ngushi over Aziz Ki ni disgrace of the highest order!so far nilicho ona. hapa hatuna kocha yanga, the poorest yanga in 2 years. huyu atuache tu.
hizi pasi fupi fupi since when 🚮🚮🚮
😂 bado namsubiria huyo mwamba skudubiiKatuni Skudu bado haijaingia
Kipindi kile walipata ganda la ndizi CAf ndo maana walifika hatua ile, safari hii ni hakuna.Yanga imebadilika sana kwa kweli.
Huko CAF kwa mchezo huu, wataishia mwanzoni mwanzoni tu
[emoji23]Max anaomba kazi Simba kiaina anafikiri tutamsajili dirisha dogo.