FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Azam wamechoka.
Wanauzi kidogo
 
Mkuu nina mashaka na uelewa wako we ye mpira. Sijaelewa point yako ni ipi hapa, kwani Azizi Ki hajawahi kuanza alaf akawa anazingua uwanjani?.

Timu inapangwa kulingana na performance ya wachezaji, na sio tu majina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…