FT | Ngao ya Jamii: Yanga SC 2-0 Azam FC | Mkwakwani Stadium Tanga | Agosti 9, 2023

Mbona Azam wakicheza na Simba huwa hatuoni hii tunaita "small team mentality" ? Yanga waliikamata gemu haswa, umaliziaji ndio bado pana shida, labda huyu Hafidh tumuone ndio tupate picha halisi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Azam ilivyocheza jana ndiyo kiwango chao halisi.Na kwa uchezaji huo wangecheza na Simba,Simba angekufa tu.
 
Mbona Azam wakicheza na Simba huwa hatuoni hii tunaita "small team mentality" ? Yanga waliikamata gemu haswa, umaliziaji ndio bado pana shida, labda huyu Hafidh tumuone ndio tupate picha halisi.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Yes, they can beat Simba, but hawawezi chukua makombe sababu ya hiyo mentallity yao.

Nb: Usitegemee mechi fainali hiyo hapo kombe hilo hapo Azam amfunge Simba, never

Atamfunga nusu, fainali akikutana na Yanga anarudi kwenye default yake ya small team anafungwa
 
Azam ni kama Spurs tuu anavyomfungaga City ila kubeba kombe hawezi
 
Duh! Na uzee wangu wote kuna mambo sujayajua!! Kumbe na kocha hua anaingia uwanjani kucheza[emoji849]
 
huko Tunisia walienda kufanya nini?
Kule alipofungwa goli nne akaona asipofanya jambo ubao utasoma 17-0, kama robo robo fc alivyopigwa 17-1 na Galatasaray. Akaweka mpira kwapani.
 
Sasa tumepita jiandaeni inaenda kujirudia kama tarehe 6 April [emoji2]
 
Mdaka mishale kawa mdaka rede Leo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…