Unacheza na matawi yako halafu unatishia nyau we kweli mwiko nyumaTarehe 8 usikimbie jukwaa hapa
Zamu yako iko njiani Mtani. π€£π€£Daah yaani mnashinda na kutuzomeaπ€£π€£
Hatukuona kule CAFCL ambako hakuna maelekzoYaah sure ndio hiyo huitwa uwezo binafsi wa wachezaji
Weka kikosi kwenye Post number oneKikosi kinachoanza dhidi ya Pamba Jijiπ°πͺπ½
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwikoView attachment 3253000
Mmeanza kutoa milio dadeki....Hakuna mechi hapa, next season tff angalieni hili la mdhamini mkuu kudhamini timu zaidi ya moja.
Tarehe 8 mje kwa wingi kwenye uzi na msijifiche maana tuna jambo letuZamu yako iko njiani Mtani. π€£π€£
huyo sowah mashindano ya CAF kwa ujumla ana magoli mangapi na assist ngapi compared na huyu kibu mkandaji?
ππAdmin itakua kolo,match za makolo uwa fasta anabadilisha ubao,leo mpaka sasa hivi Yanga 3 lakini ubao bado unasomeka 1
kuna namna hii mechi inaonyesha
Either yanga ni mzuri sanaa au soka letu lina safari ndefu sana
Hahahaa. Ifike tu hiyo siku Mtani tuone panapovuja.Tarehe 8 mje kwa wingi kwenye uzi na msijifiche maana tuna jambo letu
πππ
Astaghafirullah π πFilbert Bayi
Niko poa, tuombe mungu tarehe 8 navunja ukimyaπ€£π€£Hahahaa. Ifike tu hiyo siku Mtani tuone panapovuja.
I hope uko mzima pia.
Tishaaa......PAMBA 0 VS 3 YANGA
Hersi yuko pangani anawanga ukimya gani utavunja mwana simba wewe π€£Niko poa, tuombe mungu tarehe 8 navunja ukimyaπ€£π€£
Kibu yuko bize kukanda waarabu hana muda na mechi za maelekezo na uchawiNaskia kibu saivi anakanda Mandazi