Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hapakuww na sababu yoyote. Nafikiri kocha alitaka ampe nafasi Raly Bwalya lakini amefeli. Second half sub ifanyike mapema sanaMkuu , hiv kulikuwa na sababu yoyote ya kutomwanzisha chama kwenye mechi hii?? Wengine tunaweza fikiria kuwa Ni kwa sababu ya mechi ya kimataifa dhidi ya pirates,, Sasa chama naye Kuna sababu gn ya msing??