Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Sawa mkuu.Hizo imani zako za kiboya simba haina usoro km huo.ila uwezo wa wafungaji tu ndio ovyo na kikosi kilichopangwa ovyo. Mwalimu kaacha kuwatumia wachezaji baadhi ili.kuwa linda na majeraha kwa ajili ya mechi ijayo.
[emoji23][emoji23]Leo MK14, MUGALU NA Bocco sio MastraikaStriker Simba hatuna
Hakuna namna mkuu. Asiyekubali kushindwa sio mpinzani. Yanga mwaka huu wanastahili ubingwaWpte tuseme eimen
Alaaa asante kwa kuukubali ukweli huu mwaka ilikua n ngumu sana kutoboaTumevuna tulichopanda
Simba haina wafungaji aisee hilo tuliweke wazi. Nafasi tatu mtu mmoja anakosazote tena ndani ya boksi ya kipa. Huyu mugalu mkataba asiongezewe haaahhh anafungaga kwa mazaliKwanini Pablo na sio mugalu!???
Leo tarehe 10 April 2022 majira ya saa 16:00, Mnyama hatali Sana , mnyama mwenye njaa ,, mfalme wa nyika , Club ya 12 kwa ubora Africa nzima,, club ya 12 miongoni mwa vilabu vya soka Africa nzima, simba sports club atakuwa na mazoezi ya kupasha misuri pale atapofika kumfundisha mazoezi ya viungo mpaniaji wa mechi hiyo Police Tanzania FC huko mjini Moshi Kilimanjaro!!
Sina mengi , karibu tujumuike masaa machache yajayo tuone mnyama anavyopasha msuri !
Kila la kheri Mnyama Simba!!
Kijan na njano wanaweka record Leo ya kufurushwa kwenye michuano ya shirikisho na kijitimu aka GGM
Utopolo mpambane na hali yenumekuwa ya 12 tena si tlikubaliana kuwa ni ya 6
Na upepo hubadilila kwa maana hauwezk kuwa ww tu kila mara. Ndivyo mpira ulivyoSawa mkuu.
Utabiri sahihiPT kama mlivyotukazia wakazieni na hawa leo wakijipapatua saana basi wapate point moja. Teh teh
#Kilalakheri.
Hakuna viumbe wasahaulifu na vigeugeu kama hao! Dk moja nyuma wanamsifia mchezaji, dk mbili mbele wanamponda![emoji23][emoji23]Leo MK14, MUGALU NA Bocco sio Mastraika
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Wana wenge sana hawa jamaa[emoji23][emoji23]Leo MK14, MUGALU NA Bocco sio Mastraika
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Hivi wametoa au limeanguka? Maana niliona kama lilianguka halafu kuna mtu akaomba msamaha akataka kuliinuaKocha anahojiwa nyuma kuna GSM naona wametoa hapa...
Hakika Bro.
Hivi Wale 5imba Kindakindaki wako wapi leo. 🤣🤣🤣
Tupooooo na Kwani kutoka sare leo ndo mwisho wa duniaHivi Wale 5imba Kindakindaki wako wapi leo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]