Akili zako tu ni za ki kingdom monera maana binadamu mwenye akili timamu hawezi ongea hizo pumba unazoongea.Mk
Mkude hawezi kushine simba sababu Hana kiwango pale simba wachezaji wengi Wana viwango vya juu, mkude atashine yanga penye vilaza wenzake
Dogo unajua huwa upo kama kachawi, maana huishiwagi uchokozi kabisa linapokuja swala la Yanga.
ππππDogo unajua huwa upo kama kachawi, maana huishiwagi uchokozi kabisa linapokuja swala la Yanga.
π
Dr Asante kwa kutoa dozi takatifu kwa Yule msungo wa kiume.[emoji2935]Tamasha limekwenda fresh, wale wachawi wote waliokuwa wanaiwangia Yanga chalii na yule aliyegeuza tamasha letu kama mkole wa washirikina moderator wametimiza wajibu wao kwa kumpa haki yake akirudi ajifunze adabu.
mpira siyo uadui.
Ukinigombanisha na huyu mdogo wangu mzuri, utanipa yule wa kwako eeh'..??ππ
Umeanza lini kutoniamini eti kamamaa kangu..??
Tupoooo, kimoja cha nguruwe kimekuingia?Majirani mpoooo
Nadhani ulishauona ukweli?.leta ukweli umuumbue sasa!
Kimeishia puani...Tupoooo, kimoja cha nguruwe kimekuingia?
Mkumbushe kabisa kuwa nampenda mpaka naogopa, kidogo upendo wangu kwake uzidi ule ninaompenda shemeji yake,ππ
Nikikuua sidhani kama nitaweza kuimaliaza hiyo kesi maana kale kajamaa (Carleen ) kanakupenda kama nini tu, acha nivumilie tu huu uchawi wako.
π₯°π₯°π₯°Mkumbushe kabisa kuwa nampenda mpaka naogopa, kidogo upendo wangu kwake uzidi ule ninaompenda shemeji yake,
ahsante.
Mshahana sijui kwanini timu za Kariakoo sinakufanya ujishushie uwezo wako wa kufikiria wakati asilimia kubwa ya watu wanakuheshimu.Jamani mapema yote hii mshamchoka mnasema aondoke,,,!? Wenzenu wamekaa nae miaka 13 huyo ndio mjue wamepotia mengi kuishi nae muda wote huo,,nyie mwezi mmoja tu mshaanza maneno.[emoji23]View attachment 2710571
Sent using Jamii Forums mobile app