Show ya Chino inatuumbua maana kashuka chini ya steji hivyo camera inatupa wide, uwanja mweupeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]Yani kweli uchawi ni kipaji, yani sherehe ya Yanga lakini wanateseka Simba.
Halafu aliwadanganya nani walevi wa pombe wanaingia uwanjani saa hizi? Piteni hapo kwa Chichi na vipub vyote vya nje ya uwanja wa Taifa ni Nyomi watu wanakula kamnyeso na nyama choma.
Target ya wengi ni kuingia uwanjani muda wa kutambulisha wachezaji na kuangalia mechi na ratiba inajurikana.
Kwan uwanja unatakiwa ujae sangapi? na watu wanaingia ama hawaingii washaisha?Show ya Chino inatuumbua maana kashuka chini ya steji hivyo camera inatupa wide, uwanja mweupeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawajui nambie msanii anaeweza manage stage vizur bongo?Hivi wasanii wa bongo ni kwamba hawajui kuperfom kwenye Viwanja Vya Mpira au ni Setup mbaya?
Saa 10 kasoro hii, ulitakiwa uwe umeshajaaKwan uwanja unatakiwa ujae sangapi? na watu wanaingia ama hawaingii washaisha?
Ila sasahivi wameongezeka mtani[emoji1787]Show ya Chino inatuumbua maana kashuka chini ya steji hivyo camera inatupa wide, uwanja mweupeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila bado magepu ni makubwa mno [emoji16]Ila sasahivi wameongezeka mtani[emoji1787]
Endelea kuukatia mauno tu, wewe si ulisema upo uwanjani?Show ya Chino inatuumbua maana kashuka chini ya steji hivyo camera inatupa wide, uwanja mweupeeeeee [emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja tuangalie mda wa mechi maan hapa nimepishan na costa mbili zinaelekea uwanjanSaa 10 kasoro hii, ulitakiwa uwe umeshajaa
Juma NatureHawajui nambie msanii anaeweza manage stage vizur bongo?
Hebu panuwa tuone walivyokunyoosha.Mm ni YANGA lialia ila simba mmejua kutunyoosha jaman
Mdogo mdogo utajaa tu mtani!!Ila bado magepu ni makubwa mno [emoji16]
Na kuhonga mkahonga camera man asichukue uwanja mzima mkaja kuumbuka padogo sana [emoji16]Endelea kuukatia mauno tu, wewe si ulisema upo uwanjani?
Tulia kwenye Runinga yako angalia show, game ni saa moja usiku pimbi wewe.
Ndo zinakwenda kujaza uwanja mzima ?ngoja tuangalie mda wa mechi maan hapa nimepishan na costa mbili zinaelekea uwanjan
Watu wa mpira hawana muda ni hizi show za Bongo fleva, watu waliopo nje kwenye pub za kwa chichi na zilizopo nje ya uwanja ni Mtiti, wao wanachotaka kuona ni utambulisho na special game na Kaizer chief.ngoja tuangalie mda wa mechi maan hapa nimepishan na costa mbili zinaelekea uwanjan
Hata kama utajaa baadae, tamasha limefeli mlitakiwa mjaze mapema,, hata vybe sio kubwaMdogo mdogo utajaa tu mtani!!
Ungeona masaa mawili yaliopita ungelia mtani[emoji1787][emoji1787]
Uzuri unaumia moyoni huku unafuatilia Tamasha, safi sana.Na kuhonga mkahonga camera man asichukue uwanja mzima mkaja kuumbuka padogo sana [emoji16]
ndiooNdo zinakwenda kujaza uwanja mzima ?