mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
We jamaa ni kolo wizard suguFT Yanga 1-0 Kaizer B
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa ni kolo wizard suguFT Yanga 1-0 Kaizer B
Mbona umejaa upepo. Kimsingi, anahitajika striker mwingine pale mbele.Hao ni binadamu ndugu sio mashine, na ujue mpinzani naye anadhibiti mianya vilevile. Mnadai mno matokeo wakati ni mechi ya kwanza ya kujaribu wachezaji na mbinu. Kuweni na subira.
Ndivyo ilivyo kuna shida?Mbona kama nimeona wachezaji wa Yanga waliokuwa benchi wamevaa nguo nyeupe, ni kweli au macho yangu tu? Na hii ni kwa leo tu au tutegemee muendelezo huu?
Hii ni list rasmi inayotumiwa na CAF kupanga pots za timu zinazotakiwa kuanza raundi ya kwanza badala ya awali, na pia huitumia kupanga pots za timu zilizoingia katika ggroup stage. Kama huamini, itunze tu halafu mwezi ujao tu utaona ratiba ya CAF Clubs itakapotokaList fake hii, usichukue vitu google tu, tumia akili, utachukua fake news utuwekee hapa. Simba hawezi kuwa mbele ya Yanga as from 2023, fuatilia list mpya
Nenda KALIPIE 23000 TU mkuuKuna chanel yoyote ya bure azam tv inaonesha huu mchezo
Achana na mpira; ni ushauri tuList fake hii, usichukue vitu google tu, tumia akili, utachukua fake news utuwekee hapa. Simba hawezi kuwa mbele ya Yanga as from 2023, fuatilia list mpya
Usisahau walikufurusha ndio la msingi
KAZALIWA upya[emoji1787]ZAWADI MAUYA!!
Jipige kifua SEMA Mimi ni mshindi..Kumbe Kaizer Chiefs hawatashiriki kimataifa mwakani? Kumbe walipoteza mechi nne kati ya tano za mwisho?
View attachment 2696368
Watu mia Kwa bukubuku na watu kumi Kwa 20,000 ?nani ana mapato hapo?Hayo mapato unapataje bila watu kujaa ?
Wewe kweli hauko up to date yani mcheze shirikisho mtake kuwa klabu bingwa?List fake hii, usichukue vitu google tu, tumia akili, utachukua fake news utuwekee hapa. Simba hawezi kuwa mbele ya Yanga as from 2023, fuatilia list mpya
List fake hii, usichukue vitu google tu, tumia akili, utachukua fake news utuwekee hapa. Simba hawezi kuwa mbele ya Yanga as from 2023, fuatilia list mpya
Hawana akili hao wanadhani kujaza watu kwa buku 2 ndio kupata mapatoWatu mia Kwa bukubuku na watu kumi Kwa 20,000 ?nani ana mapato hapo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ngoja tunywe bia kwanzaOk kuna pisi kali mno isipokua mimi tu nimevamia[emoji3][emoji3]