FT: Simba 0-1 Al Ahly | CAF CL Robo Fainali | Benjamin Mkapa Stadium | 29/03/2024


Watake Wasitake, Points 3 watazitapika....
 
Ki kweli ila quality ya wachezaji wa simba ipo chini huwezi kutaka kupanda mlima kilimanjaro kilele cha africa na singlend isee..
kama simba tunahitaji kufika mbali kwa haya mashindano basi lazima tuwe serious kwenye usajili wa wachezaji
Wewe ndo umeongea leo wangekuwa na wachezaji quality walikuwa wanapata hata goli 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…