Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hupaswi kumuita bwaba bali muite 🐸mchambuzi wa tope.Namfahamu vizuri sana toka utotoni na kitambo sijamwona, nashangaa leo kumwona anachambua mpira.
😂😂😂😂😂 Dah nisamehe madam ila we ni fala sanaaa.View attachment 2948538
Unaambiwa.....
Hawa tunawapiga na watu hamtaamini
hamna mchezaji humo mzee uyo ni one of the failure player kweny European football umekulikia France kwenye academy kubwa za soka umecheza UEFA champions leauge umecheza Bundasiliga unakujejaje kucheza mpira AfricaOngea kimpira mukubwa sio ushabiki
Nimekuja kaka
RIPKwenye mashindano zitolewe I don't like spinning nimesikia watu wamekufa kwa ajali wakiwa wanaenda DSM
Rip all
I hate
Aliyepigwa bao moja mpaka sasaTuseme ukweli tu kati ya Al Ahly na Simba nani wametepeta kipindi cha kwanza?
Iko wapi Sasa hiyo penatiSaido huwa ni mfungaji wa magoli ya penalty.
Bora Sarr aisee ndo angetokaDaah kamtoa Kanoute