Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa hivi mganga wao kazima simu. Imeshajulikana leo anakalia kigogo.Yanga wameogopa kutoa Kikosi?
Yanga wameogopa kutoa Kikosi?
Kila laheri Mnyama 🦁 🦁 🦁 🦁Kariakoo Derby!
Simba Vs Yanga, mchezo wa kukata na shoka. Je, Simba atafuta Uteja wa kufungwa na Yanga mfululizo?
Kwa LigiKuu msimu huu, Simba imecheza michezo 5 ikikusanya alama 13 na Yanga michezo 4 ikikusanya alama 12.
Katika siku hizi za karibuni Yanga imeonekana kupata matokeo Chanya dhidi ya Simba na hii ni kutokana na Quality ya kikosi cha Yanga lakini haiondoi uhalisia kwamba Simba nao wana kikosi kizuri hasa msimu huu ambao wametamba Kusajili vizuri.
Mechi ni Saa 11:00 Jioni katika dimba la Benjamin Mkapa
Live kupitia Azam Sports 1HD, TBC Taifa kwa idhaa ya Radio.
Soma Pia: Refa wa Mechi ya Simba Vs Yanga ni Ramadhan Kayoko
View attachment 3129788
Ngoja tuoneKwa hii Simba wa kutufunga labda Real Madrid...
Teh teh 😃 😃 😃Kwa hii Simba wa kutufunga labda Real Madrid...
Jina lako tu ni Utopolo. Sasa unaweza kubisha kuwa leo Simba inashinda bao mbili au zaidiSimba wanagongwa 3 Leo, wao simba watafunga ka 1 ka kufuta machozi na wa naweza tangulia wao kufunga!
View attachment 3129378
Hayo ndio matokeo, na si vinginevyoLeo Kuna mambo mawili Simba imfunge utopolo au utopolo wafugwe na simba
Mkuu Its Pancho , Hamza yumo😀👍🏽Kikosi cha Ubaya UbwelaView attachment 3129787
Mkuu simba akishinda nitakuita jamaa apewe haki yake kwa sababu binafsi siwajui mods😅Kabisa....mods wamsaidie kutekeleza ahadi yake
Kila la heri Mnyama.Kikosi cha Ubaya UbwelaView attachment 3129787
Kumbe wameweka hao wazee, subiri leo maji wataita mma. Aiiiiiiiiii
Gamond nilijua tu lazima kikosi chake kiwe kile kile